Mkurugenzi
wa Watumishi Housing Company, Dkt. Fred
Msemwa akitoa maelezo kuhusu mradi
wa nyumba za kampuni hiyo kwa Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya
Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa alipofanya ziara ya
kukagua maendeleo ya mradi ujenzi wa nyumba eneo la Gezaulole jijini Dar es
Salaam.
|