Mnufaika wa Programu ya mafunzo ya uzoefu
kazini(Intership) akielezea namna programu hiyo ilivyomsaidia kupata uzoefu wa
kazi, Programu hiyo ambayo inatekelezwa na Serikali ya Tanzania imezinduliwa
rasmi na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu
Hassan, katika Mkutano wa Mawaziri wa Kazi na Ajira, Nchi Wanachama wa Jumuiya
ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC), uliofanyika katika Kituo cha Mikutano
cha Kimataifa Julius Nyerere(JNICC), Jijini Dar es Salaam, Tanzania
|