Picha: KATIBU MKUU CHADEMA JOHN MNYIKA APEWA UCHIFU WA WASUKUMA
byARUSHA PRESS CLUB (A.P.C)-
Katibu
Mkuu Chadema, Mheshimiwa John Mnyika leo amesimikwa kuwa Chifu wa
Wasukuma na kupewa jina la Maronja likiwa na maana ya MREKEBISHAJI.
Mnyika yupo mapumzikoni kijijini kwao mkoani Mwanza.